Raia wa Somalia wakamatwa katika uwanja wa ndege wa JKIA kwa sababu ya kustaajabisha

- Wanaume wawili walikamatwa kwa kuvuta sigara wakiwa ndani ya ndege -Wanaume hao walikamatwa katika ndege mbili tofauti za Kenya Airways Wanaume wawili wa asili ya kisomali walitiwa mbaroni katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege mnamo Jumatano, Machi, 8 2017 kwa kuvuta sigara wakiwa ndani ya ndege.

- Wanaume wawili walikamatwa kwa kuvuta sigara wakiwa ndani ya ndege

-Wanaume hao walikamatwa katika ndege mbili tofauti za Kenya Airways

Wanaume wawili wa asili ya kisomali walitiwa mbaroni katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege mnamo Jumatano, Machi, 8 2017 kwa kuvuta sigara wakiwa ndani ya ndege.

Habari Nyingine: Wanafunzi wa shule ya upili wapatikana wakishiriki NGONO Eldoret

Pata HAPA habari za TUKO.co.ke punde tu zinapochapishwa!

Kulingana na mwanahabari Neel Akber, Arabow Musa Hassan na Mohammed Jama Mohammed, wote wakiwa raia wa Somalia, walikamatwa katika ndge tofauti za Kenya Airways kwa kuvuta sigara wakiwa ndani ya ndege.

Walikuwa wakiwasili kutoka Afrika Kusini.

Habari Nyingine: Bintiye marehemu Ole Ntimama AMVUNJA Uhuru moyo

Habari Nyingine: Msanii Mercy Masika awasisimua Wakenya kwa picha hii ya KUPENDEZA ya familia yake

“Wote walishtakiwa kwa kosa la kuvuta sigara wakiwa kwenye ndege kinyume na kifungu

59 (1) (a) kama kinavyosomwa na kipengele cha 59 (2) cha sheria ya safari ya angani nchini,” ilisema ripoti ya polisi.

Habari Nyingine: Mwanamume amlipa rafiki yake MSHAHARA ili amtunge mimba mke wake; kinachofuata kinashangaza

Tazama habari za hivi punde katika kanda ifuatayo:

Subscribe to watch new videos

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: aron.mtunji@tuko.co.ke

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaIBzfZNmqZqhkWLEonnSqKSapJmWeritypqkmqynlnqsrdOiopplpayur7bAZq6aZZ6ZsqixjLCYZqKbnq5ut9aaZKyZkpavtnnYmmSkraOprm%2B006aj

 Share!