Mwanaume jasiri awaokoa watu 30 baada ya shambulizi la kijambazi licha ya kupigwa risasi

- Jonathan Smith aliwasaidia watu 30 katika makabiliano ya risasi katika mji wa Las Vegas - Alisimama tu baada ya kupigwa risasi mbegani Jamaa mmoja, baba wa watoto watatu amelimbikiziwa sifa kwa ujasiri wake wa kuwaokoa watu 30 wakati wa shambulizi mbaya zaidi mjini Las Vegas siku ya Jumatatu, Oktoba 2.

- Jonathan Smith aliwasaidia watu 30 katika makabiliano ya risasi katika mji wa Las Vegas

- Alisimama tu baada ya kupigwa risasi mbegani

Jamaa mmoja, baba wa watoto watatu amelimbikiziwa sifa kwa ujasiri wake wa kuwaokoa watu 30 wakati wa shambulizi mbaya zaidi mjini Las Vegas siku ya Jumatatu, Oktoba 2.

Habari Nyingine: Mwanamke wa miaka 75 hajala chakula kamili kwa miaka 60!

Jonathan Smith alikuwa amesafiri hadi Las Vegas kusherehekea siku ya kuzaliwa ya nduguye wakati wa shambulizi hilo.

Habari Nyingine: Mshukiwa wa ujambazi akamatwa na maafisa wa polisi akicheza piano kanisani

Familia na marafiki wanasema kuwa aliwasaidia watu 30, lakini aliwasimama tu alipopigwa risasi mbegani.

Shemejiye Smith, Tiffany Jones alianzisha mchango wa kumsaidia Smith kulipia bili za matibabu hospitalini.

Habari Nyingine: Jaji Mkuu Maraga anaongea lugha ya Raila-William Ruto

Kulingana na maafisa wa polisi, watu 59 wameripotiwa kufariki huku wengine 527 wakijeruhiwa vibaya baada ya Stephen Paddock,64, kuwapiga watu risasi waliokuwa wamehudhuria tamasha la maonyesho mjini Las Vegas.

Hatimaye alijipiga risasi japo sababu ya kitendo chake haijabainika.

Read ENGLISH VERSION

Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe?Tuma ujumbe kwa mhariri:mwangi.muraguri@tuko.co.ke

Subscribe to watch new videos

Chanzo: TUKO.co.ke

ncG1vNJzZmijmajEorTIpaBnrKWgvG%2BvzmeinmdiaoB3fZRmpLCZnpbCrrGMo5isoaKeeqLDwKiiqJldrK61wYxsZ2aakZaxonnYmmSsoJGir7a4yLOgZqSRYriqtsCmmZqymWK5qq%2FHmmSymV2gwm%2B006aj

 Share!