WinkBlog

Is Carol Burnett still alive, and what is she up to now?

Carol Burnett is a renowned American comedian, actress, and singer. She is best known for portraying Kate Burroughs in the drama comedy The Four Seasons. Carol has also appeared in several other movies and TV shows, including Annie and Better Call Saul. She has been in the entertainment industry for nearly seven decades, and as time passes, many are wondering if she is okay. Is Carol Burnett still alive? Carol Burnett has an impressive career, with nearly 80 acting credits under her name.

Kenya Yaondoa Marufuku ya Safari za Ndege za Kuingia na Kutoka Somalia

- Mamlaka ya KCAA nchini Kenya siku ya Jumanne, Mei 11, 2021 ilisitisha safari za ndege za kuingia na kutoka na Somalia - KCAA ilitangaza kuwa ni ndege tu za medevac na za Umoja wa Mataifa kwenye oparesheni za kushughulikia masuala ya kibinadamu, ndizo zingeruhusiwa kuhudumu - Siku ya Alhamisi, Juni 10, serikali ya Kenya ilitangaza kwamba imefungua anga lake kuruhusu safari za ndege kati ya mataifa haya mawili

Magazeti Ijumaa Novemba 20: Bobi Wine amkosesha usingizi Museveni

Magazeti ya Ijumaa Novemba 20 yamezamia taarifa za nchi jirani ya Uganda ambapo watu 19 wameripotiwa kufariki kutokana na ghasia zilizofuatia kukamatwa kwa mgombea wa urais Bobi Wine. Kuna taarifa pia kuhusiana na siasa za ripoti ya BBI na kuahirishwa kwa zoezi la kukusanya sahihi. 1. Standard Gazeti hili limefuatilia yanayoendelea nchini Uganda ambapo Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine anamkosesha usingizi Rais Yoweri Museveni kwenye kinyang'anyiro cha urais. Wine sasa ndiye anaongoza siasa za upinzani huku akiwania urais kwa tiketi ya chama cha National Unity Platform.

Meet 33-year-old Kenyan woman who married herself after grisly accident left her confined to wheelch

It is presumably a sad story to many, a tale of solitude and loneliness, but for 33-year-old Georgina Wambui, it is a personal fulfillment and dream come true. She is a happy woman. Born a pretty and flawless girl, the soft spoken Georgina got engaged to a man in her youthful age but the relationship never worked, compelling her to call it quits. READ ALSO: Nandi Governor Stephen Sang freed on KSh 1 million bond READ ALSO: Kericho senator Aaron Cheruiyot cuts cake on live TV to officially welcome Khalwale to Jubilee Speaking to TUKO.